Jumapili, 30 Juni 2013

Rihanna aanika nyeti zake bila chenga

Hii ni  makusudi au ni bahati mbaya, MUIMBAJI nyota wa nchini Marekani, Rihanna ameingia kwenye aibu kubwa baada ya kuanikwa tena hadharani ikiwa katika kipindi kifupi akionyesha nyeti zake.
Rihanna alinaswa na mapaparazzi akitanua beach, ambapo picha zilizonaswa ilionyesha utupu wake 'live' jambo ambalo limezua gumzo wakati akiendelea kusakamwa na tukio la kuachia 'upupu' wake hivi karibuni na kusisimua watu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni