Jumapili, 28 Julai 2013

HAWA NDIO WATU WENYE UWEZO WA KUTENGENEZA PESA ZAIDI WALIO CHINI YA MIAKA 30 WAKO KWENYE ORODHA YA FORBES


1] Lady Gaga ametengeneza dola milioni 802
 
Lady Gaga Anaongoza Kwenye Orodha Ya Watu Maarufu wanaojihusisha na sanaa wenye umri chini ya miaka 30 Nchini Marekani kwa mwaka 2013. 


 


2]Justin Bieber ametengeneza dola milioni 58

 


 



3] Taylor Swift ametengeneza dola milioni 55



 

4] Calvin Harris ametengeneza dola milioni 46

 


5] Rihanna ametengeneza dola milioni 43

 



6] Katy Perry ametengeneza dola milioni 39

 


 

7] Adele ametengeneza dola milioni 25

 

 

8] Jennifer Lawrence ametengeneza dola milioni 26

 

 

9] Kristen Stewart ametengeneza dola milioni 22

 

 


10] Taylor Lautner ametengeneza dola milioni 22

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni