![]() |
| Rais Obama na mkewe Michelle Obama wakionyesha malavidavi kabla ya kupanda ndege yao kuiaga Tanzania baara ya ziara ya siku mbili nchini. |
![]() |
| Wakiwa wameshikana kiuno kuelekea kwenye Airforce One yao |
![]() |
| Wakipunga mkono kuashiria kuwaaga Watanzania hususan mwenyeji wake, Rais Jakaya Kikwete. |



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni